top of page

KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 1 (102/1)

  • Writer: samche2014
    samche2014
  • Oct 6, 2022
  • 1 min read

INSHA

1 Lazima

Andika hotuba utakayowatolea wazazi, walimu na wanafunzi kuhusu umuhimu wa ushauri/nasha katika shule za sekondari.

2 Andika insha kuhusu jinsi raia wanavyoendeleza matumizi mabaya ya ardhi nchini.

3 Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Achanikaye kwenye mpini hafi njaa.

4 Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo

Mara tu nilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu, nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya

 
 
 

Comments


bottom of page