KCSE Past Papers 2014 Kiswahili Paper 1 (102/1)
- samche2014
- Oct 6, 2022
- 1 min read
INSHA
1 Lazima
Andika hotuba utakayowatolea wazazi, walimu na wanafunzi kuhusu umuhimu wa ushauri/nasha katika shule za sekondari.
2 Andika insha kuhusu jinsi raia wanavyoendeleza matumizi mabaya ya ardhi nchini.
3 Andika kisa kitakachodhihirisha maana ya methali: Achanikaye kwenye mpini hafi njaa.
4 Tunga kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo
Mara tu nilipokivuka kizingiti cha lango la nyumba yangu, nilijua kwamba maisha yangu yalikuwa yanachukua mkondo mpya




Comments