top of page

KCSE Past Papers 2019 Kiswahili Karatasi ya 1 (102/1)

  • Writer: samche2014
    samche2014
  • Oct 6, 2022
  • 1 min read

Kenya Certificate of Secondary Education Kiswahili Karatasi ya 1 - Insha

1. Lazima

Wewe ni Mkuu wa Elimu katika kaunti ndogo ya Tuangaze.

Andika hotuba utakayowatolea Maafisa wa Elimu na Walimu Wakuu kuhusu umuhimu wa kustawisha vyuo vinavyotoa mafunzo ya kiufundi katika eneo lao.

2. "Usalama wa mwanafunzi unamtegemea yeye." Jadili.

3. Andika insha itakayodhihirisha maana ya methali ifuatayo:

Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.

4. Andika kisa kinachoanza kwa maneno yafuatayo:

Nilimtazama kwa muds.

Moyo wangu ulinituma kumuuliza kilichomfanya kuishi katika mazingira ya kudhalilisha kama hayo.

 
 
 

Comments


bottom of page